1 Nyakati 8:33-37
33
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Settings