Skip to content
1 Nyakati 8:21-25

1 Nyakati 8:21-25

21
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23
Abdoni, Zikri, Hanani,
24
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25
Ifdeya na Penueli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options