Skip to content
1 Nyakati 6:1-3

1 Nyakati 6:1-3

1
Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
2
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
3
Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options