Skip to content
1 Nyakati 3:19-20

1 Nyakati 3:19-20

19
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options