1 Nyakati 24:7-19
7
Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
8
ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
9
ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
10
ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
11
ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
12
ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
13
ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
14
ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
15
ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
16
ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
17
ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
18
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
19
Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
Settings