1 Nyakati 24:15-19
15
ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
16
ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
17
ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
18
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
19
Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
Settings