1 Nyakati 23:21-23
21
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Wana wa Mahli walikuwa: Eleazari na Kishi.
22
Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.
23
Wana wa Mushi: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.