1 Nyakati 23:14-17
14
Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.
15
Wana wa Mose walikuwa: Gershomu na Eliezeri.
16
Wazao wa Gershomu: Shebueli alikuwa wa kwanza.
17
Wazao wa Eliezeri: Rehabia alikuwa wa kwanza. Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.