Skip to content
1 Nyakati 2:4-5

1 Nyakati 2:4-5

4
Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
5
Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options