Skip to content
1 Nyakati 2:34-35

1 Nyakati 2:34-35

34
Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.
35
Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options