Skip to content
1 Nyakati 2:30-31

1 Nyakati 2:30-31

30
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
31
Apaimu akamzaa: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani. Sheshani akamzaa Alai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options