Skip to content
1 Nyakati 2:16-17

1 Nyakati 2:16-17

16
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
17
Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options