Skip to content
1 Nyakati 16:28-29

1 Nyakati 16:28-29

28
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu,
29
mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake. Leteni sadaka na mje katika nyua zake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options