1 Nyakati 14:3-7
3
Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi.
4
Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
5
Ibihari, Elishua, Elpeleti,
7
Elishama, Beeliada na Elifeleti.