Skip to content
1 Nyakati 14:3-7

1 Nyakati 14:3-7

3
Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi.
4
Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
5
Ibihari, Elishua, Elpeleti,
6
Noga, Nefegi, Yafia,
7
Elishama, Beeliada na Elifeleti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options