Skip to content
1 Nyakati 14:1-2

1 Nyakati 14:1-2

1
Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme.
2
Naye Daudi akatambua kwamba Bwana amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Israeli, watu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options