1 Nyakati 1:34-37
34
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Settings