Skip to content
1 Nyakati 1:28-34

1 Nyakati 1:28-34

28
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options