Skip to content
Tito 2:7-8

Tito 2:7-8

7
Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uonyeshe uadilifu, utaratibu,
8
na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema juu yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options