Aller au contenu
Tito 2:2-3

Tito 2:2-3

2
Wafundishe wazee kuwa na kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu katika imani, upendo na saburi.
3
Vivyo hivyo, wafundishe wanawake wazee kuwa na mwenendo wa utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options