Skip to content
Wimbo 8:8-9

Wimbo 8:8-9

8
Tunaye dada mdogo, matiti yake hayajakua bado. Tutafanya nini kwa ajili ya dada yetu wakati atakapokuja kuposwa?
9
Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mierezi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options