Skip to content
Ruthu 4:16-17

Ruthu 4:16-17

16
Basi Naomi akamchukua yule mtoto, akampakata na akawa mlezi wake.
17
Wanawake waliokuwa jirani zake wakasema, “Naomi ana mtoto wa kiume.” Wakamwita jina lake Obedi. Yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options