Skip to content
Ruthu 2:15-16

Ruthu 2:15-16

15
Alipoinuka ili kuokota mabaki ya nafaka, Boazi akawaagiza watu wake, “Hata kama atakusanya kati ya miganda, msimzuie.
16
Badala yake, toeni masuke katika miganda, mwachieni ayaokote, na msimkemee.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options