Skip to content
Ruthu 1:8-10

Ruthu 1:8-10

8
Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe zake wawili, “Rudini, kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Bwana na awatendee fadhili kama mlivyowatendea hao waliofariki, na pia mimi.
9
Bwana na amjalie kila mmoja wenu maisha mema nyumbani kwa mume mwingine.” Kisha akawabusu, nao wakalia kwa sauti kubwa,
10
wakamwambia, “Tutarudi pamoja na wewe nyumbani kwa watu wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options