Skip to content
Warumi 8:24-25

Warumi 8:24-25

24
Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?
25
Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options