Skip to content
Warumi 7:9-10

Warumi 7:9-10

9
Wakati fulani nilikuwa hai pasipo sheria, lakini amri ilipokuja, dhambi ikawa hai, nami nikafa.
10
Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options