Skip to content
Warumi 7:23-24

Warumi 7:23-24

23
Lakini ninaona kuna sheria nyingine inayotenda kazi katika viungo vya mwili wangu inayopigana vita dhidi ya ile sheria ya akili yangu. Sheria hii inanifanya mateka wa ile sheria ya dhambi inayofanya kazi katika viungo vya mwili wangu.
24
Ole wangu mimi maskini! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options