Skip to content
Warumi 6:6-7

Warumi 6:6-7

6
Kwa maana twajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja naye ili ule mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.
7
Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options