Skip to content
Warumi 6:5-8

Warumi 6:5-8

5
Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.
6
Kwa maana twajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja naye ili ule mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.
7
Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
8
Basi ikiwa tulikufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options