Warumi 5:3-5
3
Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi,
4
nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,
5
wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.
Settings