Aller au contenu
Warumi 5:1-4

Warumi 5:1-4

1
Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
2
ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.
3
Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi,
4
nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options