Skip to content
Warumi 4:6-8

Warumi 4:6-8

6
Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo:
7
“Wamebarikiwa wale ambao wamesamehewa makosa yao, ambao dhambi zao zimefunikwa.
8
Heri mtu yule Bwana hamhesabii dhambi zake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options