Skip to content
Warumi 3:23-25

Warumi 3:23-25

23
kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,
24
wanahesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.
25
Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options