Skip to content
Warumi 3:10-18

Warumi 3:10-18

10
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
11
Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.
12
Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja.”
13
“Makoo yao ni makaburi wazi; kwa ndimi zao wao hufanya udanganyifu.” “Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.”
14
“Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.”
15
“Miguu yao ina haraka kumwaga damu;
16
maangamizi na taabu viko katika njia zao,
17
wala njia ya amani hawaijui.”
18
“Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options