Skip to content
Warumi 2:9-10

Warumi 2:9-10

9
Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
10
bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options