Skip to content
Warumi 2:8-9

Warumi 2:8-9

8
Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
9
Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options