Skip to content
Warumi 2:6-8

Warumi 2:6-8

6
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
7
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele.
8
Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options