Skip to content
Warumi 2:6-8

Warumi 2:6-8

6
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
7
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele.
8
Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options