Skip to content
Warumi 2:5-6

Warumi 2:5-6

5
Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.
6
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options