Skip to content
Warumi 2:23-24

Warumi 2:23-24

23
Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
24
Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options