Przejdź do treści
Warumi 2:21-24

Warumi 2:21-24

21
basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?
22
Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?
23
Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
24
Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options