Skip to content
Warumi 15:9-12

Warumi 15:9-12

9
pia ili watu wa Mataifa wamtukuze Mungu kwa rehema zake. Kama ilivyoandikwa: “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya watu wa Mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.”
10
Tena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
11
Tena, “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote, na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”
12
Tena Isaya anasema, “Shina la Yese litachipuka, yeye atakayeinuka ili kutawala juu ya mataifa. Watu wa Mataifa watamtumaini.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options