Skip to content
Warumi 14:2-3

Warumi 14:2-3

2
Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu.
3
Yeye alaye kila kitu asimdharau yeye asiyekula. Wala yeye asiyekula kila kitu asimhukumu yule alaye kila kitu, kwa maana Mungu amemkubali.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options