Skip to content
Warumi 14:1-2

Warumi 14:1-2

1
Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake.
2
Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options