Skip to content
Warumi 13:9-10

Warumi 13:9-10

9
Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
10
Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options