Skip to content
Warumi 1:24-25

Warumi 1:24-25

24
Kwa hiyo, Mungu akawaacha wazifuate tamaa mbaya za mioyo yao katika uasherati, hata wakavunjiana heshima miili yao wao kwa wao.
25
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options