Skip to content
Ufunuo 6:16-17

Ufunuo 6:16-17

16
Wakaiita milima na miamba wakisema, “Tuangukieni, mkatufiche na uso wake yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na mkatuepushe na ghadhabu ya Mwana-Kondoo!
17
Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia. Je, ni nani awezaye kustahimili?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options