Skip to content
Ufunuo 22:3-5

Ufunuo 22:3-5

3
Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia,
4
nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
5
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options