Skip to content
Ufunuo 21:24-26

Ufunuo 21:24-26

24
Mataifa yatatembea yakiangaziwa na nuru yake na wafalme wa duniani wataleta fahari yao ndani yake.
25
Malango yake hayatafungwa kamwe, kwa maana hakutakuwa na usiku humo.
26
Utukufu na heshima za mataifa zitaletwa humo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options