Přejít k obsahu
Ufunuo 21:15-16

Ufunuo 21:15-16

15
Huyo malaika aliyesema nami alikuwa na ufito wa dhahabu wa kupimia huo mji, malango yake na kuta zake.
16
Mji huo ulikuwa mraba, urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Akaupima huo mji kwa huo ufito akakuta una kama kilomita 2,200; urefu wake na upana wake na kwenda juu kwake vilikuwa sawa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options