Skip to content
Ufunuo 19:7-8

Ufunuo 19:7-8

7
Tufurahi, tushangilie na kumpa utukufu! Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo imewadia na bibi arusi wake amejiweka tayari.
8
Akapewa kitani safi, nyeupe inayongʼaa, ili avae.” (Hiyo kitani safi inawakilisha matendo ya haki ya watakatifu.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options