Перейти к содержимому
Ufunuo 13:16-17

Ufunuo 13:16-17

16
Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso,
17
ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options